Nguli wa rap nash mc ameachia video ya wimbo wake mpya, wimbo unaitwa "hasi 15"
Thursday, 20 November 2014
Thursday, 13 November 2014
New music: Ney wa Mitego - Akadumba
ney wa mitego ameachia wimbo wake mpya unakenda kwa jina la Akadumba pata kuusikiliza hapa
Monday, 27 October 2014
Kesi ya kuzama kwa meli korea:Waendesha mashitaka wataka Nahodha kunyogwa
Waendesha mashitaka wa Korea Kusini wameomba adhabu ya kifo dhidi ya nahodha wa kivuko cha Sewol, ambacho kilizama mwezi April na kuua zaidi ya watu 300.
Waendesha mashitaka wamesema Lee Joon-seok, ambaye anashitakiwa kwa mauaji ya kutokusudia, alishindwa kutekeleza jukumu lake.
Wito wa waendesha mashitaka hao umekuja wakati wakikamilisha hoja zao katika kesi ilianza kusikilizwa mwezi Juni 2014.
Waendesha mashitaka wamesema Lee Joon-seok, ambaye anashitakiwa kwa mauaji ya kutokusudia, alishindwa kutekeleza jukumu lake.
Wito wa waendesha mashitaka hao umekuja wakati wakikamilisha hoja zao katika kesi ilianza kusikilizwa mwezi Juni 2014.
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)








