Welcome to my blog!

Meet the Author

Ut eleifend tortor aliquet, fringilla nunc non, consectetur magna. Suspendisse potenti.

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Tuesday, 3 March 2015

New Music: Allikiba -Chekecha Cheketua


 Allikiba ameachia nyimbo yake mpya inayokwenda kwa jina la chekecha cheketua
bofya hapa kuweza kudownload
Read More »

Maelfu wauaga mwili wa Captain John Komba jijini Dar es salaam

Mamia ya watu wamejitokeza nchini Tanzania kumuaga marehemu Captain John Komba, mbunge na msanii maarufu wa uhamasishaji aliyefariki siku ya Jumamosi.
Captain Komba atakumbukwa kwa uhodari wake katika kuimba nyimbo za kuhamasisha wananchi katika mambo mbalimbali hasa ya kisiasa kwa niaba ya chama chake cha CCM.Mpaka anafariki alikuwa mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi. Kando na siasa, Komba alishiriki katika uhamasishaji wa jamii mfano wimbo wa ‘Mgeni’ uliokuwa ukitoa elimu juu ya ugonjwa wa UKIMWI.
Read More »

Pohamba:ndiye mshindi wa tuzo ya Mo Ibrahim kwa mwaka 2014

Rais anayeondoka madarakani nchini Namibia Hifikepunye Pohamba, 79,ameshinda tuzo ya dola milioni tano ya Mo Ibrahimu ya uongozi wa Afrika.
Tuzo hiyo ya dola milioni 5 hutuzwa kiongozi wa Kiafrika aliyechaguliwa na anayeongoza kwa njia bora na kuinua maisha ya watu na kuondoka ofisini
Read More »

New music Video: Tanchy- Mabawa

Kundi la mziki tanchy linaloudwa nao  Chibwa na Tanah wameachia video ya wimbo wao ujulikanao kwa jina la "Mabawa" , Video imeongozwa nae marijani pata kuitazama hapa........

Read More »

New Music Video: Fid Q- Bongo Hip Hop

Mkali wa miondoko ya hip hop  fid q ameachia rasim video ya nyimbo yake  ambayo iliombwa na mashabiki wake kabla hajaachia nyimbo nyingine kutoka kwake. Fid Q ameonesha mfano mzuri kwa kuwasikiliza mashabiki wa mziki wake nini wanakihitaji kwa muda sahihi. Maneno hayo ameyazungumza Fid Q mwenyewe katika kipindi cha XXL cha clouds Fm,  Video imeongozwa nae Nisha director anaye kuja kwa kasi kwenye tasinia ya mziki nchini....

Read More »

Thursday, 26 February 2015

Chid benz ameachiwa huru baada ta kulipa faini.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini, Awali msanii huyo alipewa adhabu ya kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini  kufuatia kukamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.
Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.

Read More »

Wednesday, 21 January 2015

New music: Dulayo ft Prof J -Mokomoko

Daada ya kimya cha mda mrefu hatimae Dulayo  msanii wa mziki wa miondoko ya bongo freva ameachia wimbo wake mpya aliomshlikisha prof J. wimbo inakwanga kwa jina Mokomoko
Read More »