Welcome to my blog!

Meet the Author

Ut eleifend tortor aliquet, fringilla nunc non, consectetur magna. Suspendisse potenti.

Looking for something?

Subscribe to this blog!

Receive the latest posts by email. Just enter your email below if you want to subscribe!

Thursday 23 July 2015

Picha mbalimbali za maandalizi ya msafara na mapokezi ya rais wa marekani masaa machache yajayo........

Yakiwa yamebaki masaa machache tu kwa raisi wa marekani  "Balack Obama " kuwasili nchini Kenya.  Hivi ndivyo magari kwa ajiri ya msafara na mambo mengine talikuwa yakiwekwa sawa kwa ajiri ya kazi hiyo.

Kila mahali ambapo Obama anaenda huwa ana usafiri wa ndege yake ya Air Force One, na hata gari yake pia ambayo inaitwa  ‘Cadillac One, Limo One au The Beast

Air Force One